• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI WAPEWA SIKU 14 KUWASAKA WANAFUNZI WASIORIPOTI KIDATO CHA KWANZA

Tarehe ya kuwekwa: March 1st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea  Kapenjama  Ndile ametoa siku 14 kwa Maafisa Watendaji Kata, Mitaa na Maafisa Elimu Kata kuhakikisha wanakamilisha zoezi la kuwapata wanafunzi  469 wasioripoti shule   ikiwa wanafunzi  6343 waliochaguliwa kujiunga kidato kwanza 2023  kati ya hao ni  Wanafunzi   5874  wameripoti shule.

Amewataka kutumia mbinu shirikishi  jamii  ili kufanikisha kuwapata wananfunzi wote ambao bado hawajaripoti  pamoja na kubaini changamoto ambazo zinapelekea Mwanafunzi kutoripoti shule kwa wakati husika.

Aidha, ametoa Rai kwa Wataalamu hao kuwajibika kila mtu katika eneo lake na ameahidi kutoa Zawadi kwa Mtendaji  yeyote atakaye fanikisha kwa asilimia 100% kusimamia zoezi la wananfunzi wasioripoti shuleni.

Kauli hiyo imetamkwa leo katika kikao kazi cha Maafisa Watendaji Kata 21, Maafisa Watendaji wa Mitaa 95, Maafisa Elimu Kata 21, Wakuu wa Idara kilichofanyika katika ukumbi wa Shule ya Wasichana Songea kwa lengo la kufanya ufuatiliaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao wameripoti na wasioripoti Manispaa ya Songea.

Mhe. Ndile amewataka Watendaji wa   Serikali za Mitaa kuandaa Mpango shirikishi ambao utatekelezeka  katika kufanikisha  utoaji  wa chakula shuleni ambapo amesema ni asilimia 63%  za shule ambazo zinatoa chakula  kwa wananfunzi wakati wa masomo.

Kwa upande wa Afisa Elimu Sekondari Janeth Moyo amesema Mansipaa ya Songea imeweka Mkakati wa kuhakikisha  wanatumia mbinu mbalimbali ikiwemo na sheria ndogo ili kufanikisha kuwapata wanafuzi wasioripoti.

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.





Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio January 31, 2020
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2020 January 25, 2020
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea January 31, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN " SONGEA MC "

    March 17, 2023
  • BIL 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA.

    March 11, 2023
  • YALIYOJIRI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI RUVUMA

    March 09, 2023
  • DC Songea ameitaka Jamii kupinga Ukatili wa Kijinsia

    March 02, 2023
  • Tazama zote

Video

BIL. 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa