• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAWAKILISHI wa Benki ya Dunia wakagua miradi yao Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: October 23rd, 2018

WAWAKILISHI wa Benki ya Dunia wamefanya ziara katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea na kukagua miradi mitano ambayo inatekelezwa katika Manispaa hiyo.

Wawakilishi hao wameongozana na wawakilishi wa Wizara ya TAMISEMI na wataalam kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kutembelea miradi ambayo inafadhiliwa na Benki ya Dunia.

Miradi ambayo imetembelewa ni mradi wa bustani ya Manispaa ambao umegharimu shilingi milioni 399 ambao umekamilika kwa asilimia 100 na mradi wa kituo cha mabasi cha Mfaranyaki ambao umegharimu zaidi ya shilingi milioni 576 ambao umekamilika kwa asilimia 100 na unafanyakazi.

Miradi mingine ambayo imetembelewa ni mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya Shule ya Tanga ambao umegharimu zaidi ya shilingi bilioni sita ambao ujenzi wake umefikia asilimia 35 na kwamba mradi huo unatarajia kukamilika Septemba 2019 na  wa ujenzi wa barabara za lami zenye urefu wa kilometa 10.3 ambao unagharimu zaidi ya shilingi bilioni 10 ambao ujenzi wake umefikia asilimia 40 na unatarajia kukamilika Septemba 30,2019.

Miradi mingine ambayo imetembelea na Benki ya Dunia ni mradi wa machinjio ya kisasa katika eneo la Shule ya Tanga ambao umegharimu zaidi ya shilingi bilioni 3.2 ambao unatarajia kukamilika Desemba mwaka huu ambapo hadi sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 65.

Wakizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo,wawakilishi hao wameipongeza manispaa kwa utekelezaji wa miradi hiyo ambayo baadhi imekamilika kwa asilimia 100 na kuagiza miradi ambayo haijamilika na kuhakikisha wanawasimamia wakandarasi ili kukamilisha kwa wakati.

Pia wameagiza miradi ambayo imekamilika lakini inakabiliwa na changamoto ukiwemo mradi wa bustani ya Manispaa ya Songea,kuhakikisha wanatatua changamoto ya maji kwa kuchimba kisima ili bustani iwe ya kijani wakati wote na kuvutio wageni wanaotembelea hapo.

Katika kipindi cha mwaka 2013/2014 na 2017/2018 Manispaa ya Songea kupitia ULGSP imepewa fedha zaidi ya bilioni 27 na kwamba hadi kufikia Septemba 2018 manispaa hiyo imetumia zaidi ya bilioni 15 sawa na asilimia 56 ya fedha ilizopokea.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Oktoba 23,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa