• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI Mkuu kuanza ziara ya kikazi mkoani Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: December 31st, 2018

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajia kuanza ziara ya siku nne katika mkoa wa Ruvuma.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Christina Mndeme akizungumza na wanahabari ofisini kwake mjini Songea,amesema Waziri Mkuu anatarajia kuwasili katika uwanja wa ndege wa Songea Januari pili,2019,majira ya saa kumi jioni.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,mara baada ya Waziri Mkuu kuwasili mjini Songea  atasomewa taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Ruvuma na Januari tatu ataanza ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Akiwa katika Halmashauri hiyo,atakagua miradi ya  soko la mazao OTC Lilambo,miradi ya maji na zanahati katika kijiji cha Lugagara na mradi wa maji katika kijiji cha  Muungano Zomba na hatimaye atafanya mkutano wa hadhara na wananchi katika kijiji cha Lugagara.

Kulingana na ratiba hiyo,Waziri anatarajia kuanza ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Januari 4,2019 ambako atakagua miradi na kufanya mkutano na wadau wa zao la kahawa na kufanya mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nyoni.

Waziri Mkuu anatarajia kuzindua mashine ya kisasa ya X-Ray katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma mjini Songea siku ya Januari 5,2019.

Mndeme ametoa wito kwa wananchi  kujitokeza kwa wingi katika maeneo yote ambayo msafara wa  Waziri Mkuu utapita kuanzia uwanja wa ndege na maeneo mengine katika wilaya ya Songea na Mbinga.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Songea Songea

Desemba 31,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa