• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WEO"S WATAKIWA KUFUATILIA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WASIORIPOTI SHULE

Tarehe ya kuwekwa: January 9th, 2024

Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Songea Alto Liwolelu amewataka Maafisa Watendaji wa Kata na Mitaa wahakikishe wanafuatilia wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza wanaripoti shule sambamba na ufuatiliaji wa taarifa za wanafunzi waliohama.

Kauli hiyo imetolewa jana tarehe 08 januari 2024 akiwa kwenye zoezila uhakiki wa wanafunzi walioripoti kidato cha kwanza, awali, darasa la kwanza iliyofanyika katika shule za Sekondari zote,  shule za Msingi  pamoja na shule mpya 3 ambazo zimesajiliwa na zimeanza kupokea wanafunzi ikiwemo na Chief Zulu Academy, Chief Mbano, na Lawrence Gama kwa lengo la kufanya ufuatiliaji wawanafunzi walioripo na ambao hawajaripoti shule.

Manispaa ya Songea ina jumla ya shule za Msingi 101 kati ya hizo shule za Serikali ni 84 na Binafsi 17, ambapo kwa upande wa shule za  Sekondari jumla ni 43 kati ya hizo shule za Serikali ni 26 na binafsi  17.

Alto alisema” Aliipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha Mil. 560 kwa ajili ya ujenzi wa  shule mpya ya Lawrence Gama Sekondari  ambayo imejengwa kwa gharama ya Mil. 560 SEQUIP ambayo imepangiwa wanafunzi 173 kati ya hao wasichana 89 na wavulana  84 na walioripoti ni 30 pia   walitembelea  Shule ya Msingi Chief Mbano ambayo imejengwa kwa gharama ya Mil. 513 fedha za BOOST .  Alipongeza”

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa