• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MADHARA makubwa ya kusikiliza kwa kutumia spika za masikioni (Ear phone)

Tarehe ya kuwekwa: February 20th, 2019

Siku hizi imezuka fasheni ya watu kupendelea zaidi kutumia ‘earphone’ spika za masikioni kwa kuongea na simu, kusikiliza muziki na matumizi haya ya earphone humsaidia mtu kupata uwezo wa kufanya shughuli zake nyingine.

Ukweli ni kwamba kusikiliza muziki wa sauti ya juu kwa kutumia spika za masikioni kuna athari kubwa ambazo mtu anaweza kuzipata hapo baadae.

Wataalamu wa mambo haya walifanya tafiti zao na kugundua kuwa usikilizaji wa sauti ya juu au sauti kubwa kwa kutumia spika za masikioni kuna weza pelekea mtu kupata ukiziwi, na hatari hii ipo sana sana kwa watoto na vijana ambao tayari kundi lililoathirika na matumizi haya mabaya ya spika za masikioni

Sauti hupimwa kwa kutumia skeli ijulikanayo kama decibel (DB) mfano mtu anayeongea kwa sauti ya chini ni kadirio la 39DB.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO), kupitia takwimu zilizopatikana katika nchi zenye kipato cha kati zinaonyesha kuwa, miongoni mwa wale walio na umri kati ya miaka 13-35,karibu asilimia 50 husikiliza sauti katika kiwango kisicho salama kwa kutumia vifaa vyao binafsi vya sauti na asilimia 40 huwa katika kiwango kisicho salama cha sauti wakiwa katika kumbi za starehe.


Shirika la afya (WHO) limeainisha kuwa, kukaa eneo lenye kiwango cha sauti kuanzia 85dB kwa masaa nane au 100dB kwa dakika 15 kuwa siyo salama. Inakadiriwa kuwa 1.1bilioni ya walio chini ya miaka ishirini(teenagers) na vijana wako katika hatari ya kupoteza usikivu kutokana na matumizi ya vifaa vya sauti zikiwemo simu za mkononi(smartphones) zinazoambatana na spika za masikioni.


Kusikiliza isivyo salama itategemea kiwango cha sauti, muda ambao utasikiliza na ni mara ngapi unasikiliza.


Inashauriwa kuwa kiwango cha juu cha sauti katika maeneo ya kazi ni 85dB na isizidi masaa nane kwa siku. Wafanyakazi wa vilabu vya usiku na baa mara nyingi huwa katika kiwango cha juu cha sauti na wanashauriwa kupunguza masaa ya kazi. Kwa mfano katika klabu za usiku, huwa na kiwango cha 100dB kwa hiyo itakuwa salama kwa masikio yetu endapo tutakaa katika kumbi hizo kwa dakika 15 tu.


Walio chini ya umri wa miaka ishirini na vijana waweza kujilinda kwa kuweka tuni za chini katika vifaa vyao vya sauti au kuvaa vifaa vya kuzuia sauti wawapo maeneo yenye sauti kubwa ili kuepuka kupata uziwi. Pia waweza kupunguza muda watakaokaa katika eneo lenye sauti kubwa au kuepuka matumizi ya mara kwa mara au siku chache za kutumia vifaa vya sauti kama spika za masikioni.


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa