• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIOJIRI katika ufungaji wa kikao cha maafisa Habari Arusha

Tarehe ya kuwekwa: March 19th, 2018

*Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo.*

#Kila Afisa Habari atoe taarifa ya nini kinaendelea katika Halmashauri yake ili Wananchi wajue nini Serikali inafanya.

#Mikoa na Halmashauri zote nchini zitenge fedha kwa ajili ya kununua vifaa vya Maafisa Habari, zikiwemo Kamera na Kompyuta ili waweze kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

#Halmashauri zote zihakikishe Maafisa Habari wanaingia katika vikao vyote muhimu vya Menejimenti ili aweze kuijua Taasisi yake kwa kina.

#Wakuu wa Idara za Mikoa na Halmashauri toeni takwimu kwa Maafisa Habari ili waweze kuweka taarifa hizo kwenye tovuti za Serikali.

*Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Susan Mlawi.*

#Tumesisitiza Wasemaji wa Serikali kuwa mstari wa mbele kutoa habari za Serikali kwa wakati na uhakika.

#Ninaamini mada mbalimbali zilizojadiliwa zimewajengea uwezo na weledi Maafisa Habari katika kuisemea na kuitetea Serikali.

#Mkutano huu umewaongezea ufahamu Maafisa Habari kwa kuwaletea wataalamu waliotoa mada za utekelezaji Serikalini kama vile masuala ya sera ya viwanda, mageuzi katika upatikanaji wa dawa kupitia Bohari ya Dawa (MSD) na maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ( Standard Gauge).

*Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.*

#Maafisa Mawasiliano ni jeshi kubwa linalotegemewa na Serikali katika kutangaza shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali.

#Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itashirikiana na Wizara ya Habari kuhakikisha Maazimio yote yaliyoafikiwa katika mkutano huu yanatekelezwa katika Vitengo vyote vya Mawasiliano vya Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha.

*Imeandaliwa na Idara ya Habari ( MAELEZO).*

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa