• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: May 20th, 2022

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

20 MEI 2022

Halmashauri ya Manispaa ya Songea imefanya kikao cha baraza la Madiwani na kupitia taarifa mbalimbali ambazo zimetekelezwa kwa kipindi cha robo  ya tatu ya mwaka 2021/2022.

Baraza hilo limefanyika hapo jana tarehe 19 Mei 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea  na kuhudhuriwa na wataalamu, wananchi pamoja na viongozi mbalimbali.

Akizungumza katika baraza hilo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuhakikisha wanasimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa kwa manufaa ya wananchi wa Manispaa ya Songea.

Ameishukuru Serikali ya awamu ya 6 sita  kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea ikiwemo na ujenzi wa madarasa pamoja na vituo vya afya.

Akijibu maswali ya papo kwa papo kaimu  Mkurugenzi  Halmashauri ya Manispaa Songea Christopher Ngonyani alisema kuwa kuhusiana na ukamilishwaji wa ujenzi wa Zahanati ya Lupapila ifikapo mwezi Julai 2022 Zahanati hiyo pamoja na Zahanati ya Ruhuwiko zitaanza kutumika ambapo kiasi cha shilingi Millioni 150 zimetolewa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba ili huduma ianze kutolewa.

 Ngonyani alibainisha kuwa soko la mbao Mfaranyaki linatarajiwa kuhamishiwa rasmi katika eneo la viwanda Lilambo ambapo taratibu za kuandaa mazingira kwa ajili ya wafanyabiashara hao bado zinaendelea kukamilishwa


Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amewataka Madiwani kuwahamisisha wananchi juu ya kushiriki kikamilifu katika zoezi la uwekaji vibao vya anuani za makazi kwenye Barabara pamoja na nyumba zao ambapo hadi kufiki tarehe 30 Mei 2022 zoezi hili linatakiwa kukamilika.

Mgema ametoa wito kwa Madiwani kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na umuhimu wa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi kwa kuandaa taarifa sahihi ambapo zoezi hilo litafanyika Agosti 23 mwaka huu.

Kwa upande wake Katibu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Abdul Mkalipa amewataka viongzoi wa Halmasahuri ya Manispaa ya Songea kuhakikisha wanakamilisha miradi iliyojengwa kwa nguvu za wananchi kwa wakati ikiwemo na ujenzi wa madarasa pamoja na ofisi za Serikali za mitaa.’Alisisitiza’

 Mkalipa amewataka viongzoi hao kuzingatia maelekezo yanayotolewa na baraza la Madiwani hasa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa ajili ya wananchi.

Amewataka waheshimiwa Madiwani kuhakikisha wanatimiza wajibu wo kwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa manufaa ya wananchi waliwapa dhamana ya uongozi.

mwisho



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa