• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI KIKAO KAZI CHA NGO'S WILAYA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: May 26th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe.Wilman Kapenjama Ndile amezitaka Asasi za kiraia kuhamasisha shughuli za maendeleo  katika jamii  ili kuunga mkono jitihada za Serikali.

Asasi za kiraia (NGO’S) ni chombo muhimu ambacho husaidia  kutoa huduma na kutatua changamoto  katika jamii ikiwemo kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa jamii,  mapambano dhidi ya Ukimwi na madawa ya kulevya, mapambano dhidi ya malaria, pamoja na  kutoa huduma kwa watoto na wazee waishio mazingira hatarishi na nyinginezo.

Akizungumza na mashirika yasiyo ya serikali (NGO’S)  katika mkutano wa mwaka  wa fedha 2021/2022 wilaya ya Songea  ambao umefanyika Mei 25 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea  ulio huhudhuriwa na viongozi wa dini, watalaamu pamoja na wadau kutoka asasi mbalimbali kwa lengo la kufanya tathimini ya utendaji wa kazi  wa kila mwaka.

Mhe. Ndile amezitaka asasi za kiraia kujisajili katika  katika Halmashauri zao kupitia  Idara ya maendeleo ya jamii  na ofisi ya msajili ya mkuu wa wilaya ya Songea  ili ziweze  kutambulika  kisheria  kwa kuzingatia miongozo husika.

Kwa upande wake Afisa maendeleo ya jamii  Manispaa ya Songea Martin Mtani ameyataka mashirika yasiyo  ya  kiserikali  kuendelea kutoa elimu katika jamii juu ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto pamoja  na kupinga vikali ndoa ya jinsia moja yakiwa na lengo la kuunga juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita  ili kulinda na kuimarisha mila na desturi ya kitanzania.

Aidha jumla ya ASAS za kiraia 37  kiwilaya zimeshiriki kikao hicha ambapo  kati ya hizo 15 kutoka Manispaa ya Songea  na 22 kutoka halmashauri ya Wilaya ya Songea  pamoja na halmashauri ya Madaba.

Akibainisha mafanikio yaliyopatikana kutokana na utendaji kazi mzuri wa Asasi hizo ikiwemo na kusaidia serikali  kukusanya takwimu maalumu kwa ajili ya mipango ya maendeleo, kutoa  elimu ya mafunzo ya kilimo pamoja na kuunganisha nguvu ya pamoja kati ya mashirika na serikali katika kuleta maendeleo katika jamii. “Mtani alieleza.”

                                                                                                                    

Wakizungumza na chanzo hiki washiriki wa ASAS hizo walisema “Tunatoa shukrani kwa sekretarieti ya wilaya ya Songea kwa kuanda mkutano huo ambao unatoa miongozo namna ya kutekeleza shughuli mbalimbali  kwa kuzingatia sheria zilizowekwa na  serikali ili kuleta maendeleo  katika wilaya ya Songea na Taifa kwa ujumla. “walishukuru.”

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini.






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa