• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI MADIWANI KUTOKA NANYAMBA - MTWARA WALIPOTEMBELEA SONGEA MC

Tarehe ya kuwekwa: January 11th, 2023

Mwenyekiti wa Halmshauri ya  Mji Nanyamba Mtwara  Jamali Abdalah Kapende   amewaongoza Madiwani katika kutembelea Manispaa ya Songea kwa ajili ya  kujifunza namna ya uendeshaji wa  shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo  ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri.

Ziara hiyo imefanyika tarehe  10 Januari 2023  katika  Halmashauri  Manispaa ya Songea ambapo walifanikiwa kutembelea Miradi mbalimbali ikiwemo Stendi mpya ya Mabasi Songea, Vikundi, Machinjio ya kisasa Songea pamoja na Kituo cha Afya Lilambo  kilichojengwa kwa fedha za mapato ya ndani.

Kapende  amewataka Madiwani na Wataalam wote kuendelea kutoa ushirikiano katika kukusanya mapato pamoja na kuongeza  ubunifu katika  kuibua vyanzo mbalimbali vya  Mapato ndani ya Halmashauri  ili kufikia matarajio ya Serikali yaliyowekwa.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba  Deogratius  Nsanzugwanko amewataka  viongozi na wataalamu kuongeza ushupavu na uimara katika kutekeleza shughuli za Serikali ambazo zitasaidia kuonesha taswira nzuri na kuleta tija ya  Maendeleo katika Halmashauri/Nchi kwa ujumla.

Aliogeza kuwa Ziara hiyo imejaa mafanikio kutokana nakujifunza namna ya ukusanyaji wa mapato kwa kuweka wasimamizi kwa kila  chanzo cha mapato ( Meneja) hali ambayo imepelekea kuongezeka kwa mapato ya Halmashauri, pamojaa na namna ya ukopeshaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake 4%,  Vijana 4%, na walemavu 2%, Usimamizi bora wa miradi ya maendeleo, na matumizi sahihi ya sheria ndogo za Halmashauri.

Kwa upande wao Madiwani wa Nanyamba Mtwara  walisema kupitia Ziara hiyo  wamejifunza namna ya uendeshaji wa machinjio ya kisasa, utoaji wa  mikopo ya uwekezaji  kwa vikundi (uwekezaji wa viwanda vidogo). "walishukuru"


Kwa upande  Naibu Meya Jeremiah Milembe alitoa shukrani na kuwakaribisha tena kuja kutembelea kwa mara nyingine kwa ajili ya  kufanya tathimini kupitia shughuli walizojifunza  ili kubaini mafanikio na changamoto wakati wa utekelezaji na usimamizi wa zoezi la ukusanyaji wa mapato kupitia vyanzo  mbalimbali ikiwemo madini, vibali vya sherehe, lessen za vileo, na utoaji wa mikopo kwa vikundi.

           

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 










Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa