• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI MKUTANO WA SACCOS YA WATUMISHI WA MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: October 30th, 2022

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano  amewataka viongozi wa Chama Cha Akiba na mikopo  Manispaa ya Songea -  SACCOS kuwa wabunifu wa miradi mingine mikubwa ili kukuza mfuko wa chama.

Akihutubia katika  mkutano mkuu wa 30 wa SACCOS Manispaa ya Songea uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2022  katika ukumbi wa ST.AUGUSTINE ( AJUCO ) kwa lengo la kutoa taarifa za utekelezaji  wa chama  uliohudhuriwa na wanachama, mrajisi kutoka ofisi ya Mkoa  wa Ruvuma, Kaimu Mratibu wa Programu ( MoCU) pamoja na wakaguzi wa nje kutoka COASCO.

Mhe. Mbano amewapongeza wanachama  na viongozi wa chama cha  kuweka akiba na mikopo Manispaa ya Songea  SACCOS kwa  kukikomboa chama kwa kuendelea a kusimamia misingi bora ya uendeshaji wa SACCOS ambayo inasaidia kuinua kipato cha mwanachama  ambapo ushirika ni mkombozi wa utendaji wa shughuli za miradi.

Mwenyekiti wa Bodi  Amiry  Ayoub Khalfani  alisema “Chama cha Akiba na Mikopo Manispaa ya Songea “SACCOS” kilianzishwa januari 1988 na kuandikishwa aprili 4, kwa namba RVR 153 na kupewa leseni ya huduma ndogo ya fedha mwaka 2021 ambacho kwa mwaka 2022 walikisia kukusanya fedha za chama  640,000,000 kutoka makusanyo ya ndani ikiwa hali halisi ya makusanyo ni  kiasi cha Tsh Mil. 489,827.78 sawa na asilimia 76.50 ya lengo walilojiwekea.”

Amiry aliongeza kuwa kwa mwaka 2022 Chama kilikisia kutoa mikopo ya dharula, elimu, pembejeo, na mikopo ya maendeleo yenye thamani ya 450,000,000 hadi kufikia septemba  30  mikopo iliyotolewa ni 415,700,000 sawa na asilimia 92% kwa jumla ya wanachama 101.

Kwa mujibu sheria ya vyama vya ushirika na masharti ya chama kutochangia akiba ni kinyume na masharti ya chama na 16 (1) (C ) na mwanachama ambaye endapo  atakuwa hajachangia akiba kwa zaidi ya miezi 6  kwa mujibu wa masharti ya chama 18 (18) (j) atakuwa amekoma uanachama wake.

Alibainisha kuwa kwa mwaka 2022 chama kiliweka makisio ya mapato ya shilingi 90,500,000 kutokana  na faida ya juu ya mikopo, viingilio, na mapato mengine hadi kufikia septemba 30  2022 chama kimekusanya shilingi 57,507,795 sawa na asilimia 64% ya makisio ya mwaka 2022.

Naye makamu mwenyekiti wa bodi Zacharia Kapinga alisema “ hadi kufikia septemba 30  2022 chama kina mtaji ghafi ambao ni akiba za wanachama hisa na akiba za hiari kiasi cha 896,499,946.93 ambazo hutumika kukopesha wanachama kwa masharti na riba  nafuu  ya asilimia 12 hadi 15 kulingana na mikopo utakaotolewa “

Kapinga aliongeza kuwa miongoni mwa mafanikio yanayopatikana ndani ya chama ni chama kujiendesha chenyewe kwa kutumia mtaji wake wa ndani unaotokana na rasilimali za wanachama ikiwemo na akiba na hisa za hiari, chama kusajiliwa na Baenki kuu ya Tanzania na kupata leseni ya kutoa huduma ndogo za fedha kuanzia tarehe 17 mei 2021, huduma ya mikopo, rambirambi na kufanya shughuli za uendeshaji wa chama,kukodisha jengo lake la kitega uchumi, kutoa mikopo asilimia 92.2%  hadi septemba 2022.


Naye Evaristo Benitho  kaimu Mratibu wa programu, chuo kikuu wa Ushirika Moshi ( MoCU) Mkoa wa Ruvuma ametoa elimu kwa wanachama wote kwa lengo la kuwajengea uelewa juu ya haki na wajibu kwa mwanachama, viongozi, na kamati tendaji.

Benitho aliongeza kuwa ushirika unaongozwa na misingi saba 7 ambayo ipo kwa utaratibu wa ushirika kidunia ambao umeainisha utoaji wa mafunzo na taarifa kwa viongozi, wanachama na kamati tendaji kwa kuwajengea uelewa wa pamoja  katika kutekeleza malengo ya kuandikishwa ili yaweze kutimia kwa mujibu wa kibali chao au leseni yao.

Alibainisha kuwa Wanachama ni sehemu ya wasimamizi na wanufaika wa huduma za chama naniwateja wa chama  ambapo wanachama hao hutengeneza kundi jingine kwa maana ya wajumbe wa Bodi ambao endapo wapata mafunzo hayo yatasaidia kuondoa au kupunguza migogoro.

Kwa upande Mrajisi Msaidizi Mkoa wa Ruvuma Peja Moja amewataka viongozi wa chama cha SACCOS kuzingatia sheria ya huduma ndogo za fedha namba 10 ya mwaka 2018 na kanuni zake, kuzingatia miongozo yote waliyopewa na mrajisi, wazingatie tathimini sahihbi za mrejeshaji, pamoja na vikao vya kila robo view na ajenda za kudumu za ukusanyaji wa madeni.

AMINA PILLY.

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa