• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI SIKU YA MTOTO WA AFRIKA.

Tarehe ya kuwekwa: June 16th, 2023

Maadhimisho siku ya Mtoto wa Afrika huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 16 Juni kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika ikiwemo Nchi ya Tanzania ambapo chimbuko la maadhimisho hayo ni baada ya kutokea kwa  mauaji ya watoto 2000 yaliyofanywa na Utawala wa Makaburu  katika kitongoji cha SOWETO nchini Afrika ya Kusini mnamo tarehe 10 Juni 1970.

Mauaji hayo yalitokea wakati wa maandamano ya wanafunzi kwa lengo la kupinga Mfumo wa Elimu ya kibaguzi  iliyokuwa inatolewa na Utawala wa Afrika ya Kusini ambapo 1991 Uongozi wa Nchi za Afrika  walifanya uamuzi wa kuienzi siku hiyo ikiwa ni kumbu kumbu ya mauaji ya watoto hao.

Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo  alikuwa Naibu Msajili wa Mahakama Wilaya ya Songea Mhe.  Elizabeth  Nyembele ambayo yamefanyika kihalmshauri  na  kuhudhuriwa na viongozi, wadau pamoja na wanafunzi yaliyofanyika katika Uwanja wa Majimaji leo tarehe 16 Juni 2023.

Bi Elizabeth amesema Serikali imeridhia na kusaini Mikataba inayohusu Haki za Watoto (1991) na Mkataba wa Afrika wa Haki ya Ustawi wa Mtoto ya mwaka 2005 ambayo yote kwa pamoja imetoa miongozo ya kusimamia ulinzi na haki kwa mtoto.

Katika kuimarisha ulinzi wa mtoto Manispaa ya Songea  kupitia jeshi la polisi imeanzisha  dawati la jinsia na watoto katika kituo cha Polisi kwa lengo la kupokea taarifa za matukio ya ukatili dhidi ya watoto na watuhumiwa kuchukuliwa  hatua za kishera pamoja na uundaji wa kamati za ulinzi wa mwanamke  ngazi ya Wilaya, kata na mitaa kwa lengo kuibua changamoto na namna ya kuzitatua. “Alibainisha”.

“Ametoa wito kwa wazazi au walezi  wahakikishe wanawasimamia watoto nakujiepusha kwenda kwenye maeneo ambayo ni hatari kwa usalama,  kufuatilia mienendo  na kumuepusha mtoto na vitendo vya ukatili ikiwa pamoja ulawiti na mimba, ubakaji, matumizi mabaya ya mitandao na simu, pamoja na kutoa malezi yenye maadili na kutimiza wajibu wa kuheshimu wazazi, walimu na jamii.“

Kwa upande wake Mratibu wa Maadhimisho (Afisa Maendeleo ya Jamii ) Bi Joyce Mwanja alisema “Kauli mbiu ya mwaka 2023 inaelekeza kuweka mazingira Salama na kuchukua tahadhari dhidi ya watoto wanapokuwa mitandaoni ambayo inaikumbusha jamii pamoja na wazazi kutumia matumizi sahihi na salama dhidi ya vifaa vya kieletroniki na intanenti  kutokana na uwepo wa vitendo vingi  vya ukatili vinavyofanyika mitandaoni ikiwemo na simu.

Bi Joyce aliongeza kuwa kauli mbiu hiyo imelenga kuhamasisha  Serikali, Wananchi, Taasis, Asasi,  wadau mbalimbali kushiriki kikamilifu katika suala la malezi, makuzi, ulinzi na maendeleo ya mtoto.

KAULI MBIU;            ZINGATIA USALAMA WA MTOTO KATIKA ULIMWENGU WA KIDIGITALI. 

IMEANDALIWA NA;                                                           

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa