• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI SIKU YA WAZEE DUNIANI

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2022

Siku ya wazee Duniani huadhimishwa kila ifikapo tarehe 01 Oktoba  ya kila mwaka kwa ajili ya  kukumbushana  umuhimu  wa wazee ili waweze kuwa  na maisha  bora yenye kuleta matumaini aidha wanapokuwa wamestaafu au wanapokuwa na umri mkubwa.

Katika kutekeleza maadhimisho hayo  Halmshauri ya Manispaa ya Songea ilifanikiwa kuandaa  maadhimisho yaliyofanyika katika uwanja wa majimaji na kuhudhuriwa na wananchi  pamoja na wadau wa wazee kwa lengo la kukuza ustawi wa wazee  na kuondoa  ubaguzi  dhidi  yao.

 Mgeni rasmi katika maaadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye aliwakilkishwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ambaye alianza kwa kusema “ Ni wajibu wa kila mwanajamii  katika  kuwalinda na kuwathamini  wazee ambao ni kundi muhimu katika jamii ambapo wanahitaji kulindwa na kuheshimiwa.”

Pololet aliongeza kuwa malengo makubwa ya Sera ni kuhikikisha  kuwa wazee wanathaminiwa na kutunzwa na jamii na  kushirikishwa katika  shughuli za kijamii  kwa maendeleo ya Taifa letu pamoja na kuwapatia huduma bora  za afya hususani katika  vituo vya afya, Zahanati, Hasptali, na kuahakikisha wanapewa haki kwa wazee kabla ya wengine.

Alisema Serikali ipo kwenye hatua mbalimbali  za kuhakikisha wazee  wote wanawekwa kwenye Mfumo  wa malipo ya Pensheni pamoja kutunga  sheria ya haki za wazee na kuhakikisha yanaundwa mabaraza ya wazee kila Mkoa ambayo yanasaidia kuwaunganisha wazee

Alitoa agizo kwa  Mkurugenzi wa Manispaa pamoja na Mganga Mkuu Hospitali ya Mkoa Ruvuma kuhakikisha anasimamia na kuboresha kuhusu upatikanaji wa dawa kwa wazee ambao ni hazina kwa Taifa, pamoja na kuhakisha inatengwa bajeti kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Ikisomwa Risala kutoka baraza huru la wazee ambayo walisema “ Maadhimisho ya siku ya wazee duniani ni utekelezaji wa azimio la umoja wa Mataifa namba 45/106/1990 kwalengo la kuelimisha, kujenga amasa na uelewa katika kuboresha naman ya upatikanaji wa huduma bora na ustawi wa wazee katika jamii.

Kauli mbiu ya mwaka 2022 ni   “USTAHIMILIVU NA MICHANGO YA WAZEE NI MUHIMU KWA MAENDELEO YA TAIFA.”


Na;

AMINA  PILLY


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa