• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI SIKU YA WAZEE DUNIANI- MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: October 1st, 2021

NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

01.10.2021

Manispaa ya Songea yaungana na Mataifa mengine duniani kusheherekea maadhimisho ya siku ya Wazee duniani ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo tarehe 1 ya mwezi wa kumi.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika uwanja wa Zimanimoto uliopo katika Manispaa ya Songea na kuudhuriwa na viongozi pamoja na wananchi ndani ya Manispaa ya Songea ambapo Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge.

Ibuge alianza kwa kuwapongeza wazee wote waliojitokeza kusheherekea siku yao na kuwahakikishia changamoto zote waliozozieleza zinafanyiwa kazi ambapo miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na wazee kuendelea kupewa kipaumbele kwenye kupata huduma za afya bure hasa upatikanaji wa dawa ambao umekuwa ukisumbua kwa muda mrefu.

Ibuge amewataka maafisa maendeleo ya jamii kuendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wazee kwa kuandaa siku maalumu kwa ajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi na kuzifanyia kazi pamoja na kuhakikisha wanapata haki zao stahiki.

Amesema kuwa kilio cha wazee na wakulima Mkoa wa Ruvuma ni upandishwaji wa bei za pembejeo za kilimo hasa mbolea hali iliyosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19  ambapo viwanda vyaa uzalishaji mbolea duniani ulisimama na hivyo kupelekea uhaba wa mbolea na kupanda kwa bei ya pembejeo hiyo.’Alibainisha’

Ibuge amewatoa hofu wazee na wakulima kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha bei ya pembejeo za kilimo zinakuwa rafiki na nafuu kwa wananchi wake kwa kupanua soko ambapo mtu yeyote anaruhusiwa kuagiza mbolea kutoka nje ya nchi endapo atafuata utaratibu uliowekwa na kwa kufanya hivyo uapatikanaji wa mbolea hiyo utaongezeaka na hivyo kupunguza gharama za ununuzi wa pembejeo hiyo.

Alihitimisha kwa kuwahamasisha wazee wote Mkoa wa Ruvuma kujitokeza kupata chanjo ya ugonjwa wa UVIKO 19 kwa manufaa ya afya zao pamoja na kushiriki kikamilifu kuhesabiwa katika sensa ya watu na makazi kitaifa inayotarajiwa kuanza kufanyika mwaka 2022.

Kwa upande wake katibu wa baraza huru la wazee Yohana Mbalale alisema kuwa siku hii ya wazee duniani ilitengwa rasmi na baraza la Umoja wa Mataifa kupitia azimio No 45/106 la mwaka 1920 kwa lengo la kuelimisha , kuleta hamasa na uelewa katika kuboresha upatikanaji wa huduma bora na haki za wazee katika jamii waliyopo.

Kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani kwa mwaka 2021 ni;

“MATUMIZI SAHIHI YA KIDIGITALI KWA USTAWI WA RIKA ZOTE”.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa