• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Yaliyojili wakati wa Bonanza la Kuukaribisha mwaka 2023

Tarehe ya kuwekwa: January 11th, 2023

Manispaa ya Songea imeendesha Bonanza la michezo kwa ajili ya kuwaaga watumishi waliostaafu 25, watumishi wa ajira mpya 67 na kuukaribisha mwaka 2023  iliyoambatana na tafrija fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Bombambili.

Bonanza hilo lilifanyika tarehe 07 Januari 2023  katika uwanja wa Majimaji  ambapo kulikuwa na michezo mbalimbali ambayo ilichezwa ikiwemo na mpira wa Simba na Yanga, mchezo wa kukimbiza kuku, kula Mkate, Kukimbia na kijiko cha yai, kukimbia na Magunia na mchezo wa kuvutana kamba.

Dkt. Frederick Sagamiko amewataka watumishi wake wote kutenga muda wa kufanya mazoezi ya viungo vya mwili ili kujenga afya ya mwili na akili ambapo ametoa rai kushiriki bonanza la michezo ifikapo wiki ya mwanzo ya mwezi April 2023.

Akizungumza na watumishi wastaafu katika ukumbi wa Bombambili wakati anatoa zawadi ya vyeti kwa wastaafu hao ambapo  alisema “Nidhamu na uadilifu katika utumishi umewsaidia kufikia hatua ya kustaafu hivyo amewataka wastaafu kutenga muda wa  kupumzika na kuepukana kufanya kazi ngumu ambazo zinaweza kuathiri afya zenu “ aliwapongeza.”


Naye Meneja wa CRDB Songea Method Muganyizi aliunga mkono Bonanza hilo kwa kutoa  vinywaji baridi  pia   alimpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea kwa kuandaa na  kutenga muda wa kuandaa tafrija la kuwaaga watumishi wastaafu  na kuwakaribisha watumishi wa ajira mpya, "Muganyizi alipongeza"


Imeandaliwa na ;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa