• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI BARAZA LA MADIWANI

Tarehe ya kuwekwa: August 24th, 2023

MSTAHIKI  Meya Manispaa ya Songea Michael ametoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kulipa fidia ya Bil.3.7 kwa wananchi 878 kati ya Wananchi 868 ikiwa ni asilimia 97%  na uhakiki unaendelea kwa wananchi 77.

Mstahiki Meya ametamka hayo akiwa katika baraza la madiwani lililofanyika tarehe 23 Agosti 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambalo walishiriki Waheshimiwa Madiwani, Wataalamu pamoja na wananchi kwa lengo la kupokea taarifa za mwaka mpya wa fedha 2023/2024.

 Kikao  hicho kilianza kwa  kupokea maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Waheshimiwa madiwani ambayo yalihusu  mipango Miji kufuatilia suala la mwananchi kujenga uzio ambao umepelekea  kufunga  njia ambayo imekuwa ikilalamikiwa na wananchi wa kata ya Mjini .

Akitoa ufafanuzi Mhe. Mbano,  amemtaka Mkurugenzi Manispaa ya Songea kuitisha kikao maalumu  cha kamati ya Mipango Miji  kwa ajili ya kujadili changamoto hiyo ili wananchi waweze kutumia njia hiyo kama  mipaka inavyoonesha katika Ramani ya mipango Mji.


Akizungumza Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro  (MB),  alianza kwa kutoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanza kulipa fidia kiasi cha fedha Bil. 5.3 kwa wananchi 955  wa Kata ya Mwengemshindo  ambapo kati ya 878 tayari wameshalipwa kwa thamani ya Bil. 3.7.

Dkt. Ndumbaro  amewataka  Madiwani wote kujipanga katika mchakato wa katiba mpya ambo unakuja ili kutafuta namna bora ya kushirikisha wananchi na sauti za wananchi zisikike kwasababu inahitajika katiba mpya ambayo itaweza kusaidia kwa miaka ijayo.

Alisema Katiba mpya ni Mkataba wa makubaliano kati ya wananchi kwa pande mbili 2 ambao upande mmoja ni wananchi ambao ndiyo wenye  mamlaka pia kwa upande wa pili ni watalamu pamoja na vyama vya siasa ambapo inaonesha wanachi kuwa na  uhitaji mkubwa wa Katiba mpya.” Alibainisha”

Imeandaliwa na 

AMINA  PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa