• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI BARAZA LA MADIWANI

Tarehe ya kuwekwa: February 21st, 2024

Naibu Meya Manispaa ya Songea Jeremiah Mlembe amewataka wataalamu kutoa taarifa za vikao vya baraza  mapema  kwa  kupitia Vishikwambi walivyopewa ili waweze kupitia taarifa hizo na kufahamu namna ya kujadili agenda mbalimbali zilizoandaliwa katika baraza hilo.

Hayo yametamkwa kupitia baraza la Madiwani Manispaa ya Songea liliofanyika leo 21 februari 2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambalo lilihudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani, Wadau mbalimbali pamoja na Mhe. Mbunge wa Viti Maalum Bi Mariamu Nyoka.

Aidha, amewataka wataalamu hao kuandaa ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo ikiwemo na  shule ya Chief Zulu iliyojengwa kwa fedha za mapato ya ndani kiasi cha Mil 500 ambayo imeanza kutumika, pia pamoja na  mradi  wa kikundi cha kiwanda cha Vifungashio kilichopo kata ya Lilambo kilichojengwa kwa fedha za mkopo wa  10%.

Akizungumza Mheshimiwa Mbunge wa Viti wa Maalumu Bi Mariamu Nyoka ambapo ameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Songea  ikiwemo na ujenzi wa vituo vya Afya, Zahanati, Madarasa, pamoja na miundombinu ya Barabara.  "Alipongeza".


Kwa upande wake katibu wa CCM Komredi James Mgego amewapongeza wataalamu wote wa Manispaa ya Songea kwa utendaji wao wa kazi pia amewataka kuandaa taarifa kwa usahihi na kuzituma kwa madiwani kwa wakati ili waweze kupitia na kujadili katika kikao cha mkutano wa baraza husika.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY,

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa