• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KAMATI YA LISHE MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: October 21st, 2023

Kamati ya Lishe Manispaa ya Songea  ikiongozwa na Dkt. Frederick  Sagamiko ambaye ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, wamefanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Lishe katika  kipindi cha Julai hadi Septemba 2023 kilichofanyika tarehe 20 Oktoba 2023 kwa lengo la kufanya tathimini ya hali ya Lishe kwa watoto chini ya miaka 5 na wamama wajawazito.

Akizungumza Afisa Lishe  Manispaa ya Songea  Frorentine Kissaka alisema “Katika kupambana na udumavu pamoja na utapiamlo, kitengo kimefanya uchunguzi wa hali ya Lishe kwa kutumia mzingo wa mkono kwa watoto chini ya miaka mitano pamoja na kupima uzito kulingana na umri wa mtoto.

Aidha,  ulitolewa unasihi wa Lishe bora kwa akina mama wajawazito, wanaonyonyesha, walezi wa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ambapo Jumla ya Watoto  37,818 wenye umri wa chini ya miaka mitano walichunguzwa hali ya lishe kati ya 32,216 sawa na asilimia 117%, Kati yao 26 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali ambao ni sawa na asilimia 0.07%, Watoto 791 ambao ni sawa na asilimia 2.09% waliochunguzwa waligundulika kuwa na utapiamlo wa kadiri, Watoto 37001  waliochunguzwa sawa na asilimia 97.84% hawakuwa na utapiamlo.

 Kissaka alisema katika kutatua changamoto hizo, watoto wote waliongundulika kuwa na utapiamlo wa kadiri walipewa unasihi wa uandaaji wa chakula na ulaji unaofaa lakini waliokua na utapiamlo mkali walipewa rufaa kwenda hospitali ya rufaa Songea kwa matibabu ya utapiamlo.

Miongoni mwa mikakati iliyowekwa katika kukabiliana na utapiamlo ni pamoja na kila shule kuhakikisha inaongeza idadi za  klabu za Lishe kuanzia 20 hadi  50, pamoja na kufanya  ufuatiliaji wa bidhaa zilizoongezewa virutubisho (Unga na mafuta).

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa