• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA KUDHIBITI VVU.

Tarehe ya kuwekwa: October 23rd, 2023

 Kiwango cha maambukizi ya VVU miongoni mwa wanawake kimepungua kutoka asilimia 4.9 mwaka 2015 hadi asilimia 2.9  kwa wanaume  kutoka asilimia 4.6 mwaka 2015 hadi asilimia 2.3 mwaka 2018.

Hayo yamebainishwa  katika kikao cha robo ya kwanza ya mwaka 2023/24 cha kamati ya kitaifa ya kudhibiti vvu, ukimwi na MSY mahali pa kazi katika utumishi wa umma kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea tarehe 23 Oktoba 2023 kwa lengo la kufanya tathimini ya utekelezaji wa Muongozo  katika Wizara na Taasis  mbalimbali.

Akizungumza mwakilishi wa katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Bi. Leila Mavika alisema  “ Magonjwa yasiyoambukiza yanaendelea kuongezeka hapa nchini ambapo Ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu unaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi ambao Takwimu zinaonesha kwa mwaka 2017 kulikuwa na wagonjwa 688,901 na hadi kufikia mwaka 2022 kulikuwa na wagonjwa 1,456,881  sawa na ongezeka la zaidi ya mara mbili katika kipindi cha miaka mitano.


Bi. Leila aliongeza kuwa ” changamoto ya afya ya akili imeendelea kuongezeka hapa nchini ambapo taarifa ya Wizara ya Afya inaonesha kwamba kwa mwaka 2022 jumla ya watanzania 854,154 walipata huduma za matibabu ya Afya ya Akili katika vituo mbalimbali vya Afya.

Katika kutekeleza muongozo,  Serikali imeweka malengo mahususi ili kufanikisha utekelezaji wa afua hiyo ikiwemo na  Kutenga fedha za kuwezesha utekelezaji wa Mwongozo na Waraka wake kila mwaka, Kujenga uelewa kwa Watumishi wote wa Umma waliopo katika Mamlaka zenu kuhusu Mwongozo pamoja na Waraka wake ili kupunguza hali ya unyanyapaa na kuhamasisha watumishi kujiweka wazi.

Kutekeleza afua zenye lengo la kuimarisha afya na Ustawi wa Watumishi mahali pa Kazi ikiwemo kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi kwa kutenga muda maalum wa kufanya mazoezi angalau mara moja kila wiki, Kutenga fedha kwa ajili ya kutekeleza afua mahsusi za kuimarisha Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii ikiwa ni jitihada za kuimarisha afya ya akili miongoni mwa Watumishi wa Umma.

Aidha,  kuendelea Kutenga fedha kwa ajili ya mafunzo kwa watumishi yenye lengo la kukuza uelewa wa masuala ya udhibiti wa magonjwa hasa elimu juu ya lishe yenye afya, Wizara kuhakikisha zinasimamia taasisi zilizo chini yao katika utekelezaji wa Mwongozo na uwasilishaji wa taarifa,

Kutekeleza afua zenye lengo la kuimarisha afya na Ustawi wa Watumishi mahali pa Kazi ikiwemo kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi kwa kutenga muda maalum wa kufanya mazoezi angalau mara moja kila wiki, Kutenga fedha kwa ajili ya kutekeleza afua mahsusi za kuimarisha Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii ikiwa ni jitihada za kuimarisha afya ya akili miongoni mwa Watumishi wa Umma.

Aidha,  kuendelea Kutenga fedha kwa ajili ya mafunzo kwa watumishi yenye lengo la kukuza uelewa wa masuala ya udhibiti wa magonjwa hasa elimu juu ya lishe yenye afya, Wizara kuhakikisha zinasimamia taasisi zilizo chini yao katika utekelezaji wa Mwongozo na uwasilishaji wa taarifa.

Pia  Sekretarieti za Mikoa kuhakikisha zinasimamia Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Utekelezaji wa Mwongozo na uwasilishaji wa taarifa,  Kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa afua za kudhibiti VVU, UKIMWI na magonjwa yasiyoambukizwa kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora.

IMEANDALIWA NA; 

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa