• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KIKAO CHA LISHE MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2024

Katika kupambana na udumavu  pamoja na utapiamlo, Halmashauri ya Manispaa ya Songea kupitia kitengo cha Lishe  kimefanya uchunguzi wa hali ya Lishe kutumia mzingo wa mkono kwa watoto chini ya miaka  mitano, pamoja na upimaji wa uzito kulingana na umri wa mtoto,  katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2023/2024.

Pamoja na  uchunguzi huo, kitengo cha Lishe  kimetoa  unasihi wa lishe bora kwa akina mama Wajawazito ni  2472  kati ya 2472  waliofikiwa  sawa na asilimia  100,  akina mama Walionyonyesha maziwa ya mama pekee ndani ya saa moja baada ya kujifua ni  2363 kati ya 2434  sawa na asilimia 97,  pamoja na akina mama wenye watoto chini ya miaka  miwili waliopata  unasihi wa ulishaji wa watoto wachanga na wadogo kutoka kwa watoa huduma za Afya  32723 kati ya 33032  sawa na asilimia 99.1.

Hayo yamejiri wakati wa kikao cha kamati ya Lishe Manispaa ya Songea kilichofanyika tarehe 06 Agosti 2024 kwa lengo la kufanya ufuatiliaji wa  utekelezaji wa shughuli za lishe katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2023/2024 ambacho kilihudhuriwa na wakuu wa idara ya Elimu Msingi na Sekondari, kilimo, Maendeleo ya jamii, Mipango, fedha na Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe.

Akizungumza Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea ambaye aliwakilishwa na Afisa Mazingira Manispaa ya Songea Beno Mpwessa alisema “katika uchunguzi na unasihi uliofanyika katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2023/2024  kitengo cha lishe kilibaini hali ya lishe lengo ni  32,216 kati yao 37,488 sawa na asilimia 113 walifikiwa, kati ya hao watoto 37,395 sawa na 99.77  hawakuwa na utapiamlo  ambapo  watoto 10 sawa na asilimia 0.03  waligundulika kuwa na utapiamlo mkali”

Kwa upande wake afisa  lishe Manispaa ya Songea Florentine Kissaka  alibainisha kuwa,  watoto wote walioguindulika kuwa na utapiamlo mkali walipewa rufaa  ya kwenda hospitali ya rufaa Mkoa wa Ruvuma kwa ajili ya matibabu ya utapiamlo mkali.ambapo kati ya hao 10 walipatiwa matibabu na watoto 9 walipona na 1 alibaki na hatua za matibabu zinaendelea.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa