• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI LEO' WAKATI WA UJAZAJI WA MKATABA NA WAZABUNI'

Tarehe ya kuwekwa: July 28th, 2023

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka  Wazabuni  kuongeza uwaminifu katika ukusanyaji wa Ushuru wa Mazao pamoja na ukusanyaji wa ushuru wa ada ya usafi wa taka ngumu na kufikia lengo lililokusudiwa katika ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri.

Katika kutekeleza jukumu hilo Manispaa ya Songea imesaini Mkataba na Wazabuni na watoa huduma mbalimbali wakiwemo na  WOFMAIZE COMPANY LIMITED kwa ajili ya zabuni ya ukusanyaji wa Ushuru wa Mazao wenye thamani ya zadi ya Bil. 1,  MAHOKA TRADING AND SERVICES INVESTIMENT Kwa ajili ya kufanya usafi, kukusanya taka ngumu kwenye makazi ya watu, majengo ya Biashara, Masoko, Stendi za Mabasi, Mitaa na Ofisi mbalimbali na kuzipeleka Dampo la Subira na kukusanya ada za uzoaji taka katika kaya zote za Mjini, Majengo, na Mfaranyaki wenye thamani ya zaidi ya Mil 100.

Wazabuni wengine ni pamoja na  NAMALA II CLEANING SERVICES Kwa ajili ya kufanya na kukusanya taka ngumu kwenye makazi ya watu, kwenye majengo ya biashara, Masoko, Stendi za Mabasi Mitaa na ofisi mbalimbali na kuzipeleka Dampo  pamoja na kukusanya ada ya uzoaji wa taka katika katika kaya zote za Misufini, Matarawe, na Bombambili wenye thamani ya Mil. 78, pamoja na ASA SECURITY LIMITED ambao watafanya kazi ya utoaji wa Huduma ya Ulinzi.

Hafla hiyo imefanyika leo 28 Julai 2023 ofisini  kwake  Mstahiki Meya  ambayo ilihudhuriwa na Wazabuni  mbalimbali,pamoja  na  Wataalamu kwa lengo la kuingia Mkataba na Wazabuni na watoa huduma.  

Mhe. Mbano alisema ‘ Zabani za ukusanyaji wa huduma ya kuzoa taka zilitangazwa kupitia TOVUTI ya Halmashauri, Mbao za matangazo ambapo ilipelea wazabuni hao kushinda Zabuni na hatimaye kusaini Mkataba wa utoaji wa uduma katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea.’Aliwapongeza.

Aliongeza kuwa moja ya vigezo vya Halmashauri ni pamoja na  ukusanyaji wa mapato pia   kiashiria kikubwa cha ukuaji wa mji ni ongezeko la taka maana yake uchumi kwa wananchi unaimarika.

Amewataka wazabuni hao kubadili muda wa ukusanyaji wa taka katika maeneo ya katikati ya Mji badala ya kuzoa taka Mchana, wazoe muda usiku ili waweze kufanya kazi kwa weledi.

Mzabuni  MAHOKA TRADING & SERVICES INVESTIMENT atatoa huduma katika kata ya Mjini, Majengo, na Mfaranyaki  kwa  mawasiliano zaidi 0754-626-840 au  0699-630-033 pia NAMALA II CLEANINGA SERVICES GROUP CO LTD  atatoa huduma katika kata za Misufini, Bombambili, na Matarawe kwa mawasiliano zaidi  0715-698-878 au  o713- 497-454.

Kwa upnde wa Wazabuni hao wameahdi kufanya kazi kwa umakini bila kukwamisha utekelezaji wa Mkataba husika,

Mikataba hiyo itamudu katika kipindi cha mwaka 2023/2024.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI 




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa