• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI MAHAFALI YA SEKONDARI YA MASHUJAA

Tarehe ya kuwekwa: October 18th, 2023

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka wazazi kutoa ushirikiano kwa walimu katika kusimamia zoezi la utaoji wa chakula kwa wanafunzi shuleni ili kujenga ufanisi wa ufaulu kwa wanafunzi.

Akizungumza na wazazi wa wanafunzi hao katika tafrija fupi ya Mahafali ya kidato cha nne iliyofanyika tarehe 17 Oktoba 2023 shuleni hapo, alisema” Kila mzazi anawajibu wa kuhakikisha mtoto wake anamchangia mchango wa chakula cha shule kwani kutomchangia mchango huo kunadhorotesha maendeleo ya elimu kwa mwanafunzi.” Alisisitiza”

Mhe. Mbano akijibu changamoto zinazoikabili shule hiyo ikiwemo na uchangakavu wa madarasa, uhaba wa vyoo kwa wasichana na wavulana, utoro wa wanafunzi,  wazazi kutochangia chakula, uhaba wa viti na meza pamoja na vifaa vya maabara ambapo alisema Halmashauri imeweka bajeti ya shilingi Mil 15 kwa ajili ya kukarabati miundombinu ya shule.

Akitoa shukrani kwa Jeshi la Wananchi JWTZ kwa kutoa vifaa vya kuzalishia mitihani na kazi nyingine za kitaaluma, pia kwa kukarabati madarasa na kuinua jengo la Utawala hadi kupaua na kuiweka madirisha ambapo aliahidi kununua vifaa na kuikabidhi JWTZ ili wawewze kukamilisha ujenzi wa jengo la utawala.

Kwa upande wake Mhe. Mathew Ngalimanayo alitoa shgukrani kwa JWTZ kwa ushirikiano wanaoutoa katika kuhakikisha Shule ya Msingi na Sekondari Mashujaa ina kuwa na miundombinu bora na wezeshi katika utoaji wa Elimu.

Imeandaliwa na;                                                  

Amina Pilly                                                           

Kitengo cha Mawasiliano Serikalin



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Mbunge Akabidhi Kompyuta 6 na Kufadhili Ukarabati wa Ofisi za Polisi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa