• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI SHEREHE YA KUMUAGA NA KUMKARIBISHA MKURUGENZI MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: May 5th, 2024

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mhe. Michael Mbano ameongoza watumishi wa Manispaa ya Songea wakiungana na Madiwani katika kuadhimisha sherehe ya kumuaga na kumkaribisha Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Sherehe hiyo imefanyika  tarehe  04 Mei 2024 katika ukumbi wa Chandamali ambayo ilihudhuriwa na Dkt. Sagamiko ( Mkurugenzi muaga)  na Adv. Muhoja Mkurugenzi aliyehamia, Viongozi mbalimbali, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watumishi, na waheshimiwa Madiwani iliyofanyika kwa lengo la kumuaga Mkurugenzi wa awali na kumkaribisha Mkurugenzi mpya.

Akizungumza  Mhe. Mbano alisema “ alianza kwa kumshukuru mwenyezi mungu kwa maisha aliyoishi Dkt. Sagamiko na hadi  kuondoka kwake na pia alimshukuru mungu kwa kutupatia   Adv, Muhoja.” Alishukuru”

Akimzungumzia Dkt. Frederick Sagamiko  Nanukuu;  akisema furaha ambayo unaiona ni matunda uliyoyapandikiza na kuyawekeza kwa watumishi wako hawa katika kipindi chote ulichukuwa ukiishi Songea na hadi leo unaondoka kuelekea Jiji la Tanga tunakuombea safari njema katika utumishi wako pia alimkaribisha Adv. Muhoja.” Mwisho wa kunukuu. 

Amewataka watumishi  kumpa ushirikiano Adv. Muhoja sambamba  na kuchapa kazi kwa bidii ikiwemo na kukamilisha miradi ya maendeleo inayoendelea kujengwa pamoja na kuongeza jitihada za ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

Kwa upande wake Adv.Bashir  Muhoja alianza kwa kutoa shukrani kwa watumishi wa Manispaa ya Songea kwa kuandaa sherehe kubwa ya kumkarisha katika Halmashauri hiyo. “Alishukuru”

Adv. Muhoja alisema Utumishi ni mabadiliko ambayo hupelekea kuhama kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kituo kingine, ambapo amehaidi kutoa ushirikiano kwa watumishi  pamoja  kuendeleza shughuli zote alizokuwa akizifanya Mkurugenzi aliyehama na hatimaye Songea kuwa Jiji.

Kwa upande wake Dkt. Frederick Sagamiko alianza kutoa shukurani kwa waheshimiwa Madiwani kwa kumpa ushirikiano wakutosha, Wakuu wa idara na Vitengo, Vyama vya Siasa na Menejimenti yote ya watumishi wa umma kwa kuandaa kwa kuthamini na kutambua uwepo wake katika kipindi cha uongozi wake na hatimaye kuweza kuandaa tafrija ya kumuaga. “ Aliwashukuru’ 

Dkt. Sagamiko aliongeza kuwa, Katika kipindi chote cha uongozi wake Chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Songea Mjini  hakijawahi  kuingilia au kuonyesha mabavu kwenye maamuzi yanayofanywa na Baraza la Madiwani. Alibainisha.

“Alisema katika furaha inayofurahiwa leo  iliyojengwa  na jumuiya hii  ambayo imechagizwa na watumishi wenzangu ambayo naamini  imejengwa katika mambo mawili ambayo ni  jumuiya hii  kukubali kunichukulia  madhaifu yangu mimi kuwa sehemu ya maisha yao,  pili walikubali kuyatambua na kuyatangaza mazuri madogo yaliyofanywa na namimi.” Ahsanteni’ 

Amewataka wakuu wa idara na Vitengo kuendelea kutoa ushirikiano kwa watumishi walio chini yao kwakuwa kila  Taasis  hakuna mtu mwenye  uwezo wa kufanya kazi  peke yake kila mtumishi  amewekwa kulingana na muundo wa Serikali, kila mtu aliyeko kwenye muundo amewekwa kwa namna ya utendaji wake huku akiwataka kushirikiana bila kujali nafasi ya mtu. “alisisitiza.”

Mwisho alitoa neno la kuwaaga.                                                      

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa