• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI SIKU YA WAZEE DUNIANI

Tarehe ya kuwekwa: October 12th, 2023

Siku ya wazee Duniani ni siku ambayo huadhimishwa ifikapo tarehe 01 Oktoba ya kila mwaka Duniani kote  ambapo kwa mwaka 2023 Manispaa ya Songea sherehe hizo zimefanyika tarehe 11 Oktoba 2023 katika viwanja vya Soko kuu Songea Mjini.

Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Kapenjama Ndile ambayo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali, wananchi pamoja na Wazee kwa lengo la kuhamasisha  jamii na kuijengea uelewa na kuwapa hamasa  jamii kuhusu  kulinda haki, ustawi, na maslahi ya Wazee hapa nchini.

Akizungumza Viwanjani hapo Mhe.  Kapenjama Ndile alisema “ Tunatambua kwamba wazee ni rasilimali  kubwa ya Taifa hasa katika kipindi cha Changamoto kubwa ya Mmomonyoko  wa maadili  katika jamii, wakiamini kuwa Wazee wanaweza kuisaidia jamii katika kukabiliana na uvunjifu wa maadili.” Mwisho wa kunukuu.

Aidha, katika  kuwatambua Wazee na kupata takwimu sahihi za Wazee kwa Manispaa ya Songea,  ina jumla ya Wazee 2144 wanaume, na 1343 wanawake pia katika kuhakikisha wazee wanapata huduma za matibabu, kwa mwaka 2023/2024 jumla ya Wazee 1945 ikikwa Wanaume 837 na wanawake 1,108 wamepatiwa msamaha wa matibabu.

Ameitaka jamii kutekeleza wito kwa kuwajali wazee pamoja na kutambua haki zao za kiuchumi, na  kisiasa  pamoja na kuwaenzi wazee kwa kuwapatia nafasi ya kutoa maamuzi katika Nyanja za jamii.

KAULI MBIU;                                                                                            

 Uthabiti wa Wazee kwenye Dunia  yenye  Mabadiliko.

 

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa