• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI ZIARA YA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA CHALINZE

Tarehe ya kuwekwa: April 11th, 2024

Halmashauri ya Manispaa ya Songea kupitia baraza  la Madiwani Manispaa ya Songea wameweka mikakati madhubuti  ya kuboresha ukusanyaji wa mapato ya  ndani  kwa lengo la kuongeza mapato kutoka Bil 6 hadi Bil. 15 kupitia vyanzo vyake mbalimbali vya Halmashauri hiyo.

Katika kutekeleza mikakati hiyo Madiwani, viongozi wa CCM Mkoa na Wilaya,  pamoja na wataalamu wamefanya ziara ya kutembelea Halmashauri ya Chalinze na  Tanga Jiji kwa lengo la kwenda kujifunza nmna ya uendeshaji wa miradi ya kimkakati pamoja na ukusanyaji wa mapato ya madini ya ujenzi.

Ziara hiyo  imefanyika kuanzia tarehe  06  hadi tarehe  10 Aprili 2024 ambapo walitembelea Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze  ambako walijifunza namna ya uendeshaji wa miradi ya kimkakati, ukusanyaji wa mapato ya ndani kupitia  madini ya ujenzi ambayo ni chanzo kikubwa cha mapaoto  cha  Halmashauri  hiyo  ambacho kinawezesha kuongeza mapato kwa asilimia 60% ambapo  huweza kukusanya mapato Bil. 15 kwa mwaka.

Akizungumza Naibu Meya Manispaa ya Songea Jeremiah Mlembe “ Lengo la ziara hiyo ni kujifunza  katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze ambayo imeanzishwa mwaka 2016 lakini katika  ukusanyaji wa mapato  wamefikia hatua ya kukusanya Bil. 15  kwa mwaka ikiwa ni  mapato ambayo 60% yanatokana  na madini ya ujenzi. “ aliwapongeza.”  

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Komredi Oddo Mwisho alisema” Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma kupitia viongozi wake wamekuwa bega kwa bega kuhimiza Manispaa ya Songea iweze kuwa Jiji na ili iweze kuwa Jiji ni lazima ikusanye mapato makubwa ambayo yatawezesha wananchin kupata huduma.

Akizungumza mheshimiwa Mbunge wa Viti ,Maalumu Jacqueline Msongozi alitoa shukrani kwa uongozi wa Manispaa ya Songea kwa kuandaa ziara ya kwenda  kujifunza nmna ya ukusanyaji wa mapato ya madini ya ujenzi   ambayo yanasaidia kukuza mapato ya Halmashauri .

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa