• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI - JIJI LA TANGA

Tarehe ya kuwekwa: April 12th, 2024

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mhe. Michael Mbano amewataka wataalamu pamoja na Madiwani   kutumia elimu ya  mafunzo waliyoipata  iweze  kuboresha  ukusanyaji wa mapato kwa lengo la kuongeza  kiwango cha  mapato  ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Kauli hiyo imetolewa kwenye ziara ya Madiwani na wataalamu walipotembelea Jiji la Tanga iliyofanyika trehe  09 April 2024 kwa lengo la kujifunza namna  walivyofanikiwa ukusanyaji wa mapato ya Halmashaurai hiyo.

Mhe. Mbano alisema “ Zipo ndoto za Manispaa ya Songea kuwa Jiji   endapo mapato yatakusanywa  kama ilivyokusudiwa  yatawezesha kufungua fursa nyingi za uwekezaji na kunufaisha  jamii ya kanda ya kusini . “Alisisitiza”

Akizungumza Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga  Abrahman Shilow “Tumeguswa na ziara yenu kwasababu  ziara hiyo itasaidia kuboresha utendaji wa kazi baina ya Manispaa ya Songea na Jiji la Tanga. “ Aliwakaribisha”

Kwa upande wake Mkurugenzi Manispaa ya Songea  Adv. Bashir Muhoja alisema Nanukuu ”Tumefanikiwa kufanya ziara katika Halmashauri mbili tofauti ambapo Halmashauri ya Chalinze tumejifunza namna yao ya ukusanyaji wa  mapato ya madini ya ujenzi  ambapo kwa mwaka 2023/2024 Halmashauri ya Chalinze  wamekisia kukusanya   Bil. 15. Mwisho wa kunukuu”

 Adv. Muhoja aliongeza  kuwa, Katika Halmashauri ya Jiji la Tanga wamejifunza namna ya ukusanyaji wa mapato ya madini ya ujenzi  ambapo  Halmashauri  hiyo kwa mwaka 2023/2024  imekisia kukusanya mapato  kiasi  cha Bil. 19,145.700,000.

Alisema, ili kufanikisha  ukusanyaji wa mapato hayo inahitaji ushirikishwaji, kuwawezesha wakusanyaji wa mapato ikiwa ni sehemu ya kuwatia moyo ili waweze kukusanya mapato kwa kiasi kikubwa . “ Alibainisha.”

Kwa upande wa Madiwani walitoa shukrani kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea kwa kuandaa ziara ya mafunzo ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kupitia vyanzo mbalimbali vya madini ya ujenzi  na namna ya usimaiaji wa miradi ya Kimkakati  inayotekelezwa kwenye Halmashauri hizo.

IMEANDALIWA NA;                                                                                                        

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

 


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manispaa ya Songea Wakili. Muhoja, Akabidhi Eneo la Mradi wa Ujenzi wa masoko na Kiwanda Lilambo.

    July 15, 2025
  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

UJENZI WA MASOKO MANZESE A & B, NA KIWANDA KUANZA KUJENGWA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa