• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FAHAMU YALIYOJIRI WAKATI WA MBIO MAALUMU ZA MWENGE WA UHURU 2021.

Tarehe ya kuwekwa: September 8th, 2021

Na. AMINA PILLY

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA

Kiongozi wa Mbio maalmu za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa  2021,  Ndugu yetu Luteni Josephine Paul Mwambashi, amezindua na kukagua jumla ya Miradi 4 yenye thamani ya Shilingi 1,464,246,586 Halmashauri ya Manispaa ya Songea  ikiwa ni fedha kutoka Serikali kuu pamoja na nguvu za wananchi.

Luteni Mwambashi ameweza kuzindua na kukagua miradi minne ndani ya Manispaa ya Songea ambapo miradi miwili ni uzinduzi ambayo  ni mradi wa maji Lilambo A na B  wenye thamani ya shilingi 1,164,555,586/=,  pamoja na mradi wa Barabara uliopo mtaa Ruhila kata ya  Seedfarm wenye thamani ya shilingi 294,691,000/=.

Aidha miradi mingine miwili iliyotembelewa  na Mbio Maalmu za Mwenge wa Uhuru ni pamoja na Mradi wa upandaji  Miti  Mitiki 10,000 uliopo Mtaa wa Sinai Kata ya Lilambo wenye thamani ya shilingi Milioni 5,000,000/=  pamoja na Kituo cha kutolea Elimu na huduma ya Tehama kilichopo Soko kuu Songea Mjini.

Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru 2021 zimeadhimishwa kiwilaya ambapo jumla ya miradi 9 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.2  iliwekwa mawe ya msingi, kufungua, kuzindua, na kukagua.

Kauli mbiu za Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru 2021, ni TEHAMA ni “msingi wa Taifa Endelevu Itumie kwa Usahihi na Uwajibikaji”, ambapo katika kutekeleza  ujumbe wa mwenge wa Uhuru ambao pia uliamabatana na ujumbe wa MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI “Mshikamano wa Kitaifa Tuwajibike kwa pamoja”, MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA “Ziro Malaria inaanza na Mimi nachukua hatua kuitokomeza”.

 Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema alianza kwa kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuenzi Mbio za Mwenge wa Uhuru zinazofanyika kila mwaka, kwani zinasaidia kufanya Wananchi wa Songea kuwa na umoja, amani, utulivu, upendo, mshikamano na maendeleo ya hali ya juu pale unapopita Mwenge.

Mwenge wa uhuru umepokelewa tarehe 06 septemba katika kijiji cha Liganga Halmashauri ya Wilaya ya Songea na kukabidhiwa Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe 07 septemba 2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa