• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIADA SELLA AMEWATAKA WAUGUZI KUWA NA UPENDO KWA WATEJA WAO.

Tarehe ya kuwekwa: May 31st, 2024

Siku ya wauguzi duniani hufanyika kila ifikapo tarehe 12 Mei ya kila mwaka ambapo kwa manispaa ya Songea sherehe  hizo zimefanyika katika viwanja vya Bustani ya Manispaa ya Songea tarehe 31 Mei 2024.

Siku hiyo iliibuliwa  kwa mara ya kwanza mwaka 1953 na Dorothy Sutherland aliyekuwa Afisa kutoka kitengo cha elimu ya afya na Ustawi huko U.S ili kuangalia mchango wa wauguzi katika kuhudumu jamii ambapo baraza la Wauguzi ulimwenguni (International Council of Nurses) ilianza kuadhimisha siku hiyo tangu mwaka 1965 na  mwaka 1974 mwezi januari lilipotolewa tamko rasmi kuwa siku ya wauguzi Duniani iadhimishwe ulimwenguni kote kila ifikapo tarehe 12 Mei kila mwaka.

Mgeni rasmi katika maadhimisho  hayo alikuwa Bi Ziada Sella Mkurugenzi Huduma za Ukunga Wizara ya Afya ambaye amewataka wauguzi wote kuendelea na utaratibu wa kufanya kazi  za kutoa huduma za kijamii bure na isiishie kwenye maadhimisho bali iwe endelevu.

Katika kuadhimisha sherehe hizo wauguzi waliendesha zoezi la utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii bila malipo yoyote ikiwemo na kutoa huduma ya upimaji wa VVU, kutoa huduma ya uzazi wa mpango, na kufanya uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi.

Aidha, ikisomwa risala na Roda Mtung’e afisa muuguzi Msaidizi  alisema wanaishukuru Serikali kwa jitihada zinazofanyika za kuboresha mazingira ya huduma za afya ikiwemo na kujenga Hosptali ya Manispaa ya Songea, Vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa lengo la kuboresha huduma za afya kwa jamii. Walishukuru.

Kauli Mbiu ya mwaka huu 2024 ni;

Wauguzi; Sauti ya kuongoza – wekeza katika uuguzi na heshimu haki linda Afya.

IMEANDALIWA NA

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa