• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KATIBU NEC, UENEZI NA MAFUNZO PAUL MAKONDA ATOA MAAGIZO MKOANI RUVUMA

Tarehe ya kuwekwa: February 11th, 2024

Katibu Halmashauri kuu  ya Chama cha Mapinduzi CCM, itikadi, Uenezi na Mafunzo  Paulo Makonda amewataka viongozi wote Mkoani Ruvuma kufanya kazi kwa kufuata misingi na haki katika kuwahudumia wananchi ili kuondoa malalamiko kutoka kwa wananchi.

Kauli hiyo imetolewa jana tarehe 10 Februari 2024 akiwa ziarani Mkoani Ruvuma ambapo aliweza kuhutubia wananchi  katika uwanja wa Matarawe ambayo walishiriki waheshimiwa Wabunge Mkoani Ruvuma, viongozi wa vyama vya siasa, pamoja na wananchi iliyofanyika kwa lengo la kusikiliza kero kutoka kwa wananchi hao.

Makonda, akitoa  salaamu za pole kutoka kwa mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema “ Chama cha Mapinduzi   (CCM) kimeungana na Mwenyekiti wa CCM kuipa pole familia ya Hayati Ngoyai Edward Lowasa na wanachama wote wa CCM  kwa kumpoteza kiongozi mpendwa  ambaye katika uhai wake alitoa mchango  mkubwa katika Taifa  kupitia nafasi zote alizohudumu  enzi za uhaai  wake.

Chama Cha Mapinduzi kinaungana na watanzania wote  katika kuomboleza msiba wa Hayati Ngoyai Edward Lowasa aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu  ambaye amefariki tarehe 10 Februari 2024 saa nane mchana katika Hospitali ya Moyo Muhimbili.

Aidha baaada ya salamu hizo za pole kwa famialia na watanzania wote, katibu mkuu alipokea malalamiko kutoka kwa wananchi na kisha kutoa ufafanuzi kulingana na hoja ziliulizwa  na kisha alitoa agizo kwa uongozi wa Mkoa kuitisha kikao cha kupokea kero ili kutatua changamoto za wananchi hao.

Ziara hiyo imekuwa ni muendelezo wa ziara katika mikoa mbalimbali ambayo anaendelea kufanya.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa