Tarehe ya kuwekwa: May 15th, 2018
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama kukagua miradi ya Mwenge wa Uhuru katika Halmashauuri ya Manispaa ya Songea.
Mndeme amekagua miradi mbalimbali inayaka...
Tarehe ya kuwekwa: May 14th, 2018
MANISPAA ya Songea iliyopo mkoani Ruvuma ni miongoni mwa Halmashauri nchini ambazo zimeweka dhamira ya kuhakikisha inaweka mikakati ya kuboresha maisha ili kuendana na kasi ya Rais wa awamu ya tano ya...
Tarehe ya kuwekwa: May 14th, 2018
ZIWA Nyasa linapita katika wilaya za Nyasa mkoani Ruvuma,wilaya ya Ludewa mkoani Njombe na wilaya ya Kyela mkoani Mbeya’
Utafiti umebaini kuwa Ziwa Nyasa lina aina zaidi ya 400 za samaki wa mapambo...