Tarehe ya kuwekwa: November 10th, 2019
TANZANIA imechaguliwa na Umoja wa Mataifa kuwa nchi ya kwanza kufanya kampeni ya kuhakikisha mwanamke anapata haki ya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa wanaume.
Kampeni hii ni endelevu inafanyika kwa ...
Tarehe ya kuwekwa: November 9th, 2019
BENKI ya NMB imetoa msaada wa kitanda kimoja cha kuzalia,vitanda vine vya kulala wagonjwa,na shuka ( 49) Msaada wenye thamani ya shilingi milioni tano katika Kituo cha afya cha Mbamba-bay katika  ...