Tarehe ya kuwekwa: July 19th, 2019
Hii ni bustani ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma iliyogharimu zaidi ya shilingi milioni 399.Bustani hii imejengwa mkabala ya jengo la NSSF.Bustani inamwekezaji ambaye anaendesha bustani hiyo n...
Tarehe ya kuwekwa: July 19th, 2019
SILAHA moja ya kivita aina ya AK 47,risasi sita na Meno mawili ya Tembo vimekamatwa katika kijiji cha Mangwamila kilichopo wilayani Songea kandokando ya mto Ruvuma mpakani mwa Tanzania na Msumbi...
Tarehe ya kuwekwa: July 18th, 2019
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Ruvuma imefanya uchambuzi wa mifumo mitatu ili kubaini mianya ya rushwa katika sekta ya Elimu katika usimamizi wa mitihani ya kitaifa.
Mkuu ...