Tarehe ya kuwekwa: February 17th, 2020
Wanawake waishio Manispaa ya Songea wakutana na kukubaliana kufanya maandalizi ya siku ya wanawake Duniani ambayo husherehekewa tarehe 08/03/ kila mwaka Duniani kote.
Kaimu Afisa ...
Tarehe ya kuwekwa: February 7th, 2020
TAASISI ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania ( TAFIRI) imetoa mafunzo ya utengenezaji wa chakula cha samaki kwa wafugaji 40 kutoka katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.
Mafunzo hay...
Tarehe ya kuwekwa: February 6th, 2020
Halmashauri ya Manispaa ya Songea imetumia shilingi milioni 30 kwa ajili ya utengenezaji madawati 500,yatakayotumika kwa wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari.
Kwa mujibu Afisa Elimu Msin...