Tarehe ya kuwekwa: January 29th, 2018
JAMII ya viwavi jeshi aina ya Fally arm worms ambao waliingia katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma tangu Desemba 2017 na kufanya uharibifu wa mazao wamedhibitiwa kwa asilimia 95.
Afisa Kil...
Tarehe ya kuwekwa: January 26th, 2018
UGONJWA hatari wa homa ya nguruwe umeingia katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambapo hadi sasa zaidi ya nguruwe 100 wamekufa.
Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Rozina Chuwa ame...
Tarehe ya kuwekwa: January 25th, 2018
MKUU wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema amesema operesheni ya kuwasaka wanafunzi wa madarasa ya awali,msingi na sekondari ambao hawajaripoti shule itafanyika nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha kuwa wan...