Tarehe ya kuwekwa: November 30th, 2023
Kamati ya lishe ya Manispaa ya Songea imeandaa mapendekezo ya awali ya mpango na bajeti wa mwaka 2024/2025 ambao umelenga kutatua changamoto mabalimbali za lishe katika manispaa ya Songea.
Ak...
Tarehe ya kuwekwa: November 29th, 2023
Serikali imekuwa ikichukuwa juhudi mbalimbali katika kuhakikisha inatokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii ikiwemo na kutunga sheria na miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali, pamoja na ...
Tarehe ya kuwekwa: November 20th, 2023
Baraza la madiwani Manispaa ya Songea limewasimamisha kazi watumishi wawili kutoka idara ya Afya na Idara ya Utawala kutokana na uzembe kazini.
Tamko hilo limetolewa tarehe 20 Novemba 2023 katika u...