Tarehe ya kuwekwa: October 1st, 2025
Na; Amina Pilly.
Kituo cha Afya cha Mjimwema kilichopo katika Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, kimezindua rasmi huduma mpya ya haraka kwa wagonjwa (Fast Track Service) mnamo Oktoba 01, 2025. Hudu...
Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2025
Mkoa wa Ruvuma umeungana na jamii ya kimataifa kuadhimisha kilele cha Siku ya Kimataifa ya Wazee, katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Songea Club, huku maadhimisho hayo yakiongozwa na kaulimbiu...
Tarehe ya kuwekwa: September 30th, 2025
Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Muhoja, amewataka watumishi wa Halmashauri kushiriki mafunzo ya bajeti kwa umakini mkubwa huku akisisitiza kuwekwa kwa vipaumbele vinavyoendana na mahit...