Tarehe ya kuwekwa: December 7th, 2017
Mpingo ni mti ambao umeadimika sana duniani ,miaka ya karibuni ulikuwa unapatikana kusini mwa Ethiopia na Kenya.
Wataalam wa miti wanasema hivi sasa mpingo unapatikana nchini Tanzania na kask...
Tarehe ya kuwekwa: December 2nd, 2017
MANISPAA ya Songea Mkoa wa Ruvuma, imempoteza Diwani wa CCM Mariam Yusuph ambaye alifariki Dunia kwa ajali ya gari Novemba 30 mwaka huu.
Ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Lumecha wilayani Songe...
Tarehe ya kuwekwa: December 1st, 2017
SERIKALI wilayani Nkasi mkoani Rukwa imesema kuanzia sasa watakaotuhumiwa kuwapa mimba wanafunzi majina yao yatangazwa katika Redio ya Nkasi kila baada ya taarifa ya habari.
Mkuu wa wilaya ya Nkasi...