Tarehe ya kuwekwa: February 1st, 2018
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Tina Sekambo amesitisha uchinjaji wa nguruwe katika maeneo yote ya Manispaa hiyo kufuatia kuibuka kwa homa ya nguruwe.
Katika kipindi c...
Tarehe ya kuwekwa: February 1st, 2018
MANISPAA ya Songea kupitia Idara ya Mifugo na uvuvi imeanza kutoa elimu kabla kuwaondoa wafanyabiashara wote ambao wanauza samaki katika maeneo ambayo hayapo kisheria hali ambayo inachangia kuikosesha...
Tarehe ya kuwekwa: January 31st, 2018
UCHAFU sio tu unasababisha maradhi lakini pia unasababisha baadhi ya wanaume kukimbia nyumba zao na kutafuta wanawake wasafi.
Diwani wa Kata ya Mfaranyaki Manispaa ya Songea Seneth Yatembo akizungu...