Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2018
JUMLA ya shilingi milioni 22 zimetumika kwa ajili ya kukamilisha maabara katika shule ya sekondari ya Matogoro iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
Mkuu wa shule hiyo Ezra Mwoge...
Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2018
KARAKANA ya useremala ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea ilianza rasmi mwaka 1986 baada ya kufungwa mitambo ya kulanda mbao kwa ufadhili wa Shirika la NIDA.
Kulingana na taarifa ya karakana hiyo ...
Tarehe ya kuwekwa: June 27th, 2018
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeanza kutoa huduma ya matatibu kwa wagonjwa mbalimbali kwa mfumo wa Hospitali Tembezi linalofanyika katika Hospitali Teule ya Wilaya Mtakatifu Gemma iliyopo Kata ...