Tarehe ya kuwekwa: December 2nd, 2017
MANISPAA ya Songea Mkoa wa Ruvuma, imempoteza Diwani wa CCM Mariam Yusuph ambaye alifariki Dunia kwa ajali ya gari Novemba 30 mwaka huu.
Ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Lumecha wilayani Songe...
Tarehe ya kuwekwa: December 1st, 2017
SERIKALI wilayani Nkasi mkoani Rukwa imesema kuanzia sasa watakaotuhumiwa kuwapa mimba wanafunzi majina yao yatangazwa katika Redio ya Nkasi kila baada ya taarifa ya habari.
Mkuu wa wilaya ya Nkasi...
Tarehe ya kuwekwa: November 28th, 2017
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amewaongoza maelfu ya wakazi wa Manispaa ya Songea kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea mjini Leonidas Gama.Mazishi hayo y...