MTAZAME Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa madiwani kwenye mkutano wa Baraza la madiwani uliofanyika kwenye ukumbi wa manispaa ya Songea.Hapa anajibu swali la Diwani wa Ruhuwiko Wlbert Mahundi kuhusu ujenzi wa kituo cha Afya Ruhuwiko
MTAZAME Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Alto akizungumzia namna Manispaa ya Songea ilivyojipanga kuongeza mapato kutoka makusanyo ya asilimia 81 mwaka 2017/2018 hadi kufikia asilimia 100 katika mwaka fedha wa 2018/2019
Mwacheni Mungu aitwe Mungu, huko nchini Uganda nje kidogo ya Jiji la Kampala kuna mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 38 ambaye amejawaliwa na na Mwenyezi Mungu kuzaa watoto 44.Fuatlia taarifa ya mwandishi wa Kituo cha Luninga cha The Citzen ambaye amefuatilia maisha ya mwanamke huyo
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa