MTAZAME Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akitolea ufafanuzi sababu zilizowaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga kuondolewa katika Barabara kuu ya Sokoine ya Songea
MTAZAME Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akifafanua upotoshaji ambao umetokea katika RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA (UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU) ZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA ZA MWAKA, 2018.
Mjusi huyo alivumbuliwa katika eneo la Tendaguru mkoani Lindi miaka 100 iliyopita.Mjusi huyo ni kuvutio adimu katika makumbusho ya Berlin nchini Ujerumani ambaye ana uzito wa tani 50.Mjusi huyo anakadiriwa kuwa na umri wa miaka milioni 150,ana urefu wa meta 13.7 kwenda juu,anakadiriwa kuwa na moyo wenye uzito wa kilo 400 na chakula cha mjusi huyo kilikuwa ni mimea.mjusi huyo aligundulika kati ya mwaka 1907 na 1909
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa