Mtazame NAIBU Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya songea Judith Mbogoro akitoa nasaha zake katika mahafali ya watoto 51 wanaoishi katika Mazingira hatarishi ambao wamehitimu kozi fupi za miezi mitatu katika chuo cha Ufundi Stadi VETA Manispaa ya Songea kwa ufadhili wa PACT TANZANIA
Mtazame Mwakilishi wa mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la PACT TANZANIA akiwafunda vijana 51 waliohitimu mafunzo ya kozi fupi VETA Songea kwa ufadhili wa PACT TANZANIA kwa kuratibiwa na Shirika la PADI
NAIBU Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Mhandisi Atashista Ndetiye ametoa maelezo ya mabasi kuanza safari saa 11 alfajiri badala ya saa 12.Mtazame anafafanua zaidi
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa