SERIKALI imetoa kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya mradi wa kituo cha Afya kata ya Ruvuma manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Josephat Kandege amekagua mradi huo na kutoa maelekezo kadhaa ili kuhakikisha mradi unafanyika kwa mujibu wa maelekezo ya Wizara husika
NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Josephat Kandege amekagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea .Moja ya miradi ambayo ameikagua na kutoa maelekezo ni mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Ruvuma ambao unagharimu shilingi milioni 400 katika awamu ya ujenzi.Mradi huo ni wa miezi sita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 13 Agosti, 2018 amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya 1, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji 41, na amewahamisha vituo vya kazi Mkuu wa Wilaya 1 na Wakurugenzi wa Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji 19.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa