KRETA ya Ngorongoro ni eneo dogo lakini zuri sana kuona simba wengi na wanyama mbalimbali kwa muda mfupi.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli amekubali ushauri wa viongozi wastaafu wakiwamo Marais wastaafu,mawaziri wakuu na majaji wastaafu ambao aliwaalika Ikulu jijini Dar es salaam.
OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imetoa kiasi cha shilingi milioni sita kwa ajili ya ukarabati wa madarasa manne ya shule ya msingi Chandamali.Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Keziah Katawa amesema shule hiyo,Desemba 2017 ilipata maafa ya kuezuliwa kwa paa la madarasa manne na ofisi mbili.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa