Mtazame Mwakilishi wa mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la PACT TANZANIA akiwafunda vijana 51 waliohitimu mafunzo ya kozi fupi VETA Songea kwa ufadhili wa PACT TANZANIA kwa kuratibiwa na Shirika la PADI
NAIBU Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Mhandisi Atashista Ndetiye ametoa maelezo ya mabasi kuanza safari saa 11 alfajiri badala ya saa 12.Mtazame anafafanua zaidi
MTAZAME Mkurugenzi wa Kampuni ya TOPONE ya Songea Pascal Msigwa akielezea sababu za kuanzisha chuo cha ufamasia katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa