MTAZAME Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.Hamis Kigwangalla ambaye ameagiza kuanzia sasa kifungu cha sheria cha kutaifisha mifugo inayoingia katika maeneo ya hifadhi kianze kutumika na kwamba amewaagiza wananchi wote kuanzia sasa kuheshimu maeneo yote yaliyohifadhiwa.
UTALII ni furaha,tazama maajabu ya mnyama aina ya kiboko ambaye anapiga mswaki kabla ya kula chakula.Furahia utalii wa ndani.Nchi yetu imebarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa na vivutio vya utalii vya aina mbalimbali,
MTAZAME Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma,hatua ambazo amemchukulia dereva wa mabasi ya abiria ambaye kwa makusudi amezidisha abiria kwenye basi lake.Nadhani hili litakuwa fundisho kwa madereva wengine ambao wamekuwa na tabia ya kuzidisha abiria kwa kusimamisha na kuhatarisha maisha pale inapotokea ajali.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa