TAZAMA makala ya ugunduzi wa sayari mpya inayofanana na Dunia ambayo imegundulika anga za mbali
Mradi wa ujenzi wa Stendi ya mabasi katika kata ya Tanga Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma umefikia asilimia 45.Mradi huu unatekelezwa na Kampuni ya China Sichuan International (SIETICO) .Mradi huu ni wa miezi 18 ambao umeanza Machi 2018 na unatarajia kukamilika Septemba 30,2019.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa