RAIS mstaafu Jose Alberto Mujica Cordano maarufu kama Mujica au Pepe aliyeiongoza nchi ya Uruguay kuanzia mwaka 2010-2015 ndiye anayetajwa kuwa mkuu wa nchi masikini zaidi kutokea duniani.Songeamc Digital inaungana na Daily News Digital inakuletea kwa undani maisha ya kiongozi huyo na mali anazomiliki kiasi cha kuonekana kuwa ndiye masikini zaidi kuwahi kutawala taifa huru.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ameshauri watanzania kutumia huduma za mawasiliano toka Kampuni mama ya mawasiliano ya TTCL kutokana na huduma za Kampuni hiyo kuwa katika kiwango cha juu.
Vijana wa kitanzania wenye umri wa miaka kati ya 21 na 35 mnashauri kuomba ufadhili wa mafunzo ya namna ya kutengeneza miradi ya ujasiriamali ambayo yanatarajia kufanyika nchini Ujerumani Oktoba mwaka huu.Tarehe ya mwisho wa kuomba maombi ni Juni 24,2018.Zaidi mtazame Mtaalam wa NEEC anafafanua zaidi.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa