RAIS Dkt John Magufuli aagiza barabara ya lami kutoka Mbinga hadi Mbambabay inayogharimu shilingi bilioni 134 kukamilika kabla ya mwaka 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Balozi wa Sweden hapa nchini Anders Sjoberg wakiminya kitufe kwa pamoja kuashiria uzinduzi wa mradi wa Ujenzi wa njia kuu ya kusafirisha umeme KV 220 kutoka Makambako hadi Songea pamoja na vituo vya kupooza umeme KV 220/33 katika sherehe zilizofanyika Songea mkoani Ruvuma.Mradi huo mkubwa umegharimu zaidi ya shilingi bilioni 215
TAZAMA yaliyojiri wakati Rais Dkt.John Magufuli anahutubia wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa