Kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma pololet Mgema amesema NFRA Kanda ya songea imepata mgawo wa fedha toka serikalini wa kununua mahindi tani 6000
Shirika la Maendeleo la Taifa NDC limetoa semina elekezi ya upatikanaji wa matrekta kwa gharama na masharti nafuu kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.Semina hiyo imeratibiwa na Mbunge wa Viti Maalum Ruvuma.
Mtazame Afisa Utalii mkoani Ruvuma Lwiza Kihwili akizungumzia aina mpya ya kivutio cha utalii ambacho ni miti iliyogeuka mawe ambayo inapatikana Kanda ya Kalulu katika pori la Akiba la selous
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa