MTAZAME Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji wakati anatangaza mshindi wa nafasi ya Naibu Meya wa Manispaa ya Songea katika uchaguzi uliofanyika Agost i 2,2018 kweye ukumbi wa Manispaa ya Songea
MTAZAME Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Ruvuma Yustina Chagaka akizungumzia namna TAKUKURU ilivyochunguza na kubaini kuwa zabuni zilitolewa kwa kufuata utaratibu
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imeokoa kiasi cha Zaidi ya shilingi milioni 53 ambazo zingetumika kama mishahara hewa katika sekta ya afya,elimu na TAMISEMI.Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma kwa wanahabari katika kipindi cha kuanzia Julai 2017 hadi Juni 2018,Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yustina Chagaka amesema kati ya fedha zilizookolewa katika sekta ya afya pekee zimeokolewa Zaidi ya shilingi milioni 44.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa